Jua ndio linazama hivyo. Biashara asubuhi jioni mahesabu. Mwenzangu unagapi mfukoni? Nimeiweka hiyo picha mapema nirudi nyumbani kama afanyavyo kuku si unajua daladala za kibongo mpaka ulukie dirisha upate kochi la kulala.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment