Hodi hodi wabongo! Nipo njiani kuwaletea Vionjo kama jina langu linavyoonyesha.
Pamoja na kuleta makandamizo hayo bado nitahitaji mchango wenu mkubwa katika ushauri, Kukosoa na mengine mengi.
Hata hivyo naomba kuwashukuru TGNP walioandaa semina ya Mafunzo kwa Wanahabari, Wasanii na wachora katuni katika Mafunzo ya Kijinsia kuleta Vuguvugu la Ukombozi wa wanawake waliopo pembezoni na kuniunganisha na Kaka Juma Nyumayo wa Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club toka Songea ambaye ameniwezesha kufungu Blog hii. Asante sana Brothers and Sisters. Well come and watch.
Saturday, March 6, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment